Swahili - Surah Al-Ghashiya ( The Overwhelming ) | المكتبة الإسلامية صدقة جارية عن المغفور لهم بإذن الله أحمد سليمان البراك وزوجته وابنائه سليمان ومحمد ويونس وابنته إيمان

,,

اللهم اجعل هذا العمل نافعاً لصاحبه يوم القيامة

ولمن ساهم وساعد بنشره

,,

Surah Al-Ghashiya ( The Overwhelming )

Swahili

Surah Al-Ghashiya ( The Overwhelming ) - Aya count 26
Facebook Twitter Google+ Pinterest Reddit StumbleUpon Linkedin Tumblr Google Bookmarks Email
هَلْ أَتَاكَ حَدِيثُ الْغَاشِيَةِ ( 1 ) Al-Ghashiya ( The Overwhelming ) - Aya 1
Je! Imekufikia khabari ya msiba wa kufudikiza?
وُجُوهٌ يَوْمَئِذٍ خَاشِعَةٌ ( 2 ) Al-Ghashiya ( The Overwhelming ) - Aya 2
Siku hiyo nyuso zitainama,
عَامِلَةٌ نَّاصِبَةٌ ( 3 ) Al-Ghashiya ( The Overwhelming ) - Aya 3
Zikifanya kazi, nazo taabani.
تَصْلَىٰ نَارًا حَامِيَةً ( 4 ) Al-Ghashiya ( The Overwhelming ) - Aya 4
Ziingie katika Moto unao waka -
تُسْقَىٰ مِنْ عَيْنٍ آنِيَةٍ ( 5 ) Al-Ghashiya ( The Overwhelming ) - Aya 5
Zikinyweshwa kutoka chemchem inayo chemka.
لَّيْسَ لَهُمْ طَعَامٌ إِلَّا مِن ضَرِيعٍ ( 6 ) Al-Ghashiya ( The Overwhelming ) - Aya 6
Hawatakuwa na chakula isipo kuwa kichungu chenye miba.
لَّا يُسْمِنُ وَلَا يُغْنِي مِن جُوعٍ ( 7 ) Al-Ghashiya ( The Overwhelming ) - Aya 7
Hakinenepeshi wala hakiondoi njaa.
وُجُوهٌ يَوْمَئِذٍ نَّاعِمَةٌ ( 8 ) Al-Ghashiya ( The Overwhelming ) - Aya 8
Siku hiyo nyuso nyengine zitakuwa kunjufu.
لِّسَعْيِهَا رَاضِيَةٌ ( 9 ) Al-Ghashiya ( The Overwhelming ) - Aya 9
Zitakuwa radhi kwa juhudi yao,
فِي جَنَّةٍ عَالِيَةٍ ( 10 ) Al-Ghashiya ( The Overwhelming ) - Aya 10
Katika Bustani ya juu.
لَّا تَسْمَعُ فِيهَا لَاغِيَةً ( 11 ) Al-Ghashiya ( The Overwhelming ) - Aya 11
Hawatasikia humo upuuzi.
فِيهَا عَيْنٌ جَارِيَةٌ ( 12 ) Al-Ghashiya ( The Overwhelming ) - Aya 12
Humo imo chemchem inayo miminika.
فِيهَا سُرُرٌ مَّرْفُوعَةٌ ( 13 ) Al-Ghashiya ( The Overwhelming ) - Aya 13
Humo vimo viti vilivyo nyanyuliwa,
وَأَكْوَابٌ مَّوْضُوعَةٌ ( 14 ) Al-Ghashiya ( The Overwhelming ) - Aya 14
Na bilauri zilizo pangwa,
وَنَمَارِقُ مَصْفُوفَةٌ ( 15 ) Al-Ghashiya ( The Overwhelming ) - Aya 15
Na matakia safu safu,
وَزَرَابِيُّ مَبْثُوثَةٌ ( 16 ) Al-Ghashiya ( The Overwhelming ) - Aya 16
Na mazulia yaliyo tandikwa.
أَفَلَا يَنظُرُونَ إِلَى الْإِبِلِ كَيْفَ خُلِقَتْ ( 17 ) Al-Ghashiya ( The Overwhelming ) - Aya 17
Je! Hawamtazami ngamia jinsi alivyo umbwa?
وَإِلَى السَّمَاءِ كَيْفَ رُفِعَتْ ( 18 ) Al-Ghashiya ( The Overwhelming ) - Aya 18
Na mbingu jinsi ilivyo inuliwa?
وَإِلَى الْجِبَالِ كَيْفَ نُصِبَتْ ( 19 ) Al-Ghashiya ( The Overwhelming ) - Aya 19
Na milima jinsi ilivyo thibitishwa?
وَإِلَى الْأَرْضِ كَيْفَ سُطِحَتْ ( 20 ) Al-Ghashiya ( The Overwhelming ) - Aya 20
Na ardhi jinsi ilivyo tandazwa?
فَذَكِّرْ إِنَّمَا أَنتَ مُذَكِّرٌ ( 21 ) Al-Ghashiya ( The Overwhelming ) - Aya 21
Basi kumbusha! Hakika wewe ni Mkumbushaji.
لَّسْتَ عَلَيْهِم بِمُصَيْطِرٍ ( 22 ) Al-Ghashiya ( The Overwhelming ) - Aya 22
Wewe si mwenye kuwatawalia.
إِلَّا مَن تَوَلَّىٰ وَكَفَرَ ( 23 ) Al-Ghashiya ( The Overwhelming ) - Aya 23
Lakini anaye rudi nyuma na kukataa,
فَيُعَذِّبُهُ اللَّهُ الْعَذَابَ الْأَكْبَرَ ( 24 ) Al-Ghashiya ( The Overwhelming ) - Aya 24
Basi Mwenyezi Mungu atamuadhibu kwa adhabu iliyo kubwa kabisa!
إِنَّ إِلَيْنَا إِيَابَهُمْ ( 25 ) Al-Ghashiya ( The Overwhelming ) - Aya 25
Hakika ni kwetu Sisi ndio marejeo yao.
ثُمَّ إِنَّ عَلَيْنَا حِسَابَهُم ( 26 ) Al-Ghashiya ( The Overwhelming ) - Aya 26
Kisha hakika ni juu yetu Sisi hisabu yao!
Facebook Twitter Google+ Pinterest Reddit StumbleUpon Linkedin Tumblr Google Bookmarks Email

Select language

Select surah